Sunday, December 22, 2013

BIASHARA KATIKA MSIMU WA SIKU KUU ZA NOEL NA MWAKA MPYA.


Mfanyabiashara wa sokoni Kariakoo Jijini Dar es Salaam akiandaa miti maalumu kwa ajili ya siku kuu ya Christ Mass.


Badhi ya bidhaa za Msimu wa Siku Kuu, kama zinavyoonekana pichani hapo juu katika Soko la Kariakoo Jijini Dar es Salaam- Tanzania.
  

No comments:

Post a Comment