Sunday, December 22, 2013

BIDHAA SAFI NA BORA ZINAPATIKANA SOKONI KARIAKOO JIJINI DAR ES SALAAM

Wafanyabiashara wa Soko la Wazi Sokoni Kariakoo, wakiwa na wateja wao mapema leo asubuhi katka soko Kuu la Kariakoo Jijini Dar es Salaam.

Katika msimu huu wa siku kuu karibuni sokoni Kariakoo wateja wetu wote ili muweze kujipatia bidhaa bora sokoni Kariakoo Jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment