Tuesday, October 8, 2013

Staff

Bwana Paul Kiwera Mkaguzi Mkuu wa ndani wa Shirika la Masoko ya Kariakoo akiwa Ofisini kwake.
Katika picha hapo juu ni Bwana Flavian Mlellwa Mkuu wa kitengo cha Uhandisi  katika  Shirika la Masoko ya Kariakoo akiwa Ofisini kwake.
Bwana Rogers Kuyonga akiwa Ofisini kwa Muhandisi wa Shirika akipewa maelekezo ya namna ya kuwatangazia matangazo mbalimbali wafanyabiashara wa sokoni hapo, mkononi mwake akiwa ameshika kipaza sauti.


Baadhi ya Mitambo inayo tumika kwa ajili ya kutangaza matangazo mbalimbali katika Shirika la Masoko ya Kariakoo; Soko kuu la Kariakoo lipo Jijini DSM.

No comments:

Post a Comment