Thursday, October 22, 2015

Mazao katika Soko Kuu la Kariakoo - Dar Es Salaam

 Zabibu ni miongoni mwa bidhaa zinazopatikana hapa Soko Kuu la Kariakoo, Jijini Dar Es Salaam. Bidhaa hii huzalishwa kwa wingi  mkoani Dodoma
vitunguu  saumu na tangawizi pia huuzwa katika soko kuu la Kariakoo. 
Pilipili Hoho hupatikana katika Soko kuu la Kariakoo takribani mwaka mzima. Pilipili hoho  huingizwa katika soko hili zikitokea katika mikoa mbalimbali ikiwemo Morogoro,Pwani na Tanga.Kwa bei ya jumla na rejareja huuzwa sokoni hapa kuanzia mapema alfajiri hadi jioni.

1 comment: