Wednesday, June 3, 2015

Watumishi wa Shirika la Masoko Kariakoo

 Katika picha hapo juu ni Bwana James Kanyilili akiwa ofisini kwake mapema leo asubuhi. Bwana Kanyilili ni mtumishi wa Shirika hili la Masoko katika Idara ya Fedha

Katika picha hapo juu ni Bwana Jacob Nombo,naye pia akiwa mezani anaendelea na shughuli zake za kila siku,naye ni mtumishi katika Idara ya Fedha.

No comments:

Post a Comment