Thursday, February 12, 2015

Kinachoendelea -Kariakoo Market Corporation

 Bwana Paul Nsimbila Mkufunzi mwenye laptop akiwa katika Ukumbi wa Shirika la Masoko wakati akiendesha semina kwa watumishi wa Shirika kuhusu Sheria mpya ya manunuzi na kanuni zake.
 Watumishi wa Shirika la Masoko ya Kariakoowaliohudhuria mafunzo ya kuhusu Sheria mpya ya manunuzi wakiwa wanafanya swali mojawapo alilowapa Mkufunzi Bwana Paul Nsimbila jana asubuhi, kama sehemu ya mazoezi
Watumishi katika makundi ya watu wawiliwawili wakiendelea na zoezi la kujibu swali mojawapo alilolitoa kama sehemu ya mazoezi katika mafunzo.

No comments:

Post a Comment