Tuesday, March 25, 2014

Hizi ni Green beans ni aina mojawapo mboga nzuri ambazo zinauzwa hapa katika Soko Kuu la Kariakoo Jijini Dar Es Salaam.Huzalishwa katika mikoa ya Arusha na Tanga. Bei yake ni Tsh.3000/= kwa Kilo moja.

No comments:

Post a Comment