Sunday, September 21, 2014

Ndizi kutoka Morogoro

Ndizi aina hii kwa wakati huu zinatoka Mkoani Morogoro hasa katika wilaya ya Kilombero katika kijiji maarufu kiitwacho Mbingu. Kijiji hiki kinapitiwa na barabara inayounganisha mji wa Ifakara na Mlimba.Ndizi Mzuzu huzalishwa kwa wingi sana katika kijiji hiki.

No comments:

Post a Comment