Friday, September 26, 2014

Mama Majasiriamali


Mama huyu katika picha hufanya biashara ya dagaa katika Soko Kuu la Kariakoo. Mezani kwake kuna kila aina ya dagaa ambao huwauza.Mama huyu yupo eneo la Wauza dagaa na samaki katika eneo la Shimoni.Katika alikutwa akiwapimia wateja wake dagaa!

No comments:

Post a Comment