Thursday, May 29, 2014

Kuna nini Kariakoo Sokoni asubuhiiiii?

 Maembeee! karibu upate maembe ya kila aina yanayozalishwa hapahapa nchini kutoka mikoa ya Tanga,Moro na kwingineko! Karibu sanaa! Matunda ya kila aina huuzwa eneo la Shimoni ndani ya Soko Kuu!
Mratibu wa Masoko Project Bi.Monique Galvao wa 2SEEDS Network na Mrs.Romana Lukanga wakiwa katika pozi  la pamoja mara baada ya maelekezo mafupi namna ya kutumia Smartphone wakati wa kutuma bei za mazao kwenye Mfumo wa taarifa wa Shirika la Masoko(KMC Database System) katika ofisi za Shirika la Masoko.

No comments:

Post a Comment