Monday, January 27, 2014

SOKO KUU LA KARIAKOO: YALIYOJIRI KATIKA KIKAO KILICHOOHUSU MFUMO MPYA WA UTOAJI TAARIFA ZA MAZAO KUPITIA SIMU

 Wawakilishi wa Shirika la 2Seeds (Moniq Galvao wa kwanza kushoto na wa pili kulia Soph) wakiwa na Mwakilishi wa Shirika la Masoko ya Kariakoo Anderson Shaka wa pili kushoto na Bariki wa kwanza kulia mwakilishi wa Habari Mazao) wakiwa katika kikao kilicho fanyika ndani ya ofisi za Shirika la Masoko ya Kariakoo Jijini Dar es Salaam. Kikao hiki kilihusu Uboreshwaji wa mfumo wa utoaji taarifa za mazao kupitia simu ya kiganjani.

Wajumbe wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kikao kumalizika. kuazia wa kwanza kushoto waliosimama ni 
1. Anderson Shaka (Kariakoo Market)
2. Frank Mangowi  (Kariakoo Market)
3. Sugwejo Kaboda  (Habari Mazao)
4. Christian  (Habari Mazao)
5. Bariki  (Habari Mazao)
6. Soph (2Seeds Network)
7. Moniq  (2Seeds Network)

MAJADILIANO KUHUSU UUNDAJI WA MFUMO WA UTUNZAJI KUMBUKUMBU ZA SHIRIKA


Frank Tilugulilwa wa kwanza kushoto na Edward Mwangile kutoka katika kampuni ya  INCo yenye ofisi zake Sinza Jijini Dar es Salaam wakiwa katika kakao kilicho hushu namna ya uundaji wa Mfumo mpya wa utunzaji kumbukumbu za Shirika. Kikao hicho kilifanyika katika ukumbi wa mikutano wa Shirika la Masoko ya Karikoo.


Afisa biashara wa Shirika la Masoko ya Kariakoo Bibi. Mwinga Luhoyo akiwa katika kikao cha Uundaji wa Mfumo wa utunzaji wa kumbukumbu za Shirika.

No comments:

Post a Comment