Monday, November 11, 2013

BIDHAA BORA ZINAPATIKANA SOKONI KARIAKOO


Pichani hapo juu ni dagaa kutoka Kigoma wanapatikana sokoni Kariakoo kwa bei nafuu, fika Kariakoo uweze kujipatia dagaa wahi!!!!



 Soko la wazi Kariakoo, wafanyabiashara wa soko la wazi wakiandaa bidhaa zao mapema leo asubuhi. Hapa unaweza kupata nyanya, kabichi, viazi na vingine vingi; kwa matumizi ya familia yako,Mghahawani au Mama Lishe.


 Vitunguu swaumu, vitunguu maji tangawizi vyote vinapatikana sokoni; karibuni wote mjipatie bidhaa bora kwa afya boraaaaa!!!

 Pili pili safi kwa bei poa kabisa,kila aina ya pilipiliiiii!!! "Money for value" bwana! Mpendwa Mteja usiogope kufika Kariakoo sokoni kwa mahitaji yako ya kila siku!


No comments:

Post a Comment