Wednesday, October 23, 2013

PATA BIDHAA BORA KUTOKA SOKO LA KARIAKOO

Pichani ni Mhasibu wa Shirika la Masoko ya Kariakoo (KMC) Bw. Ibrahim Marsha aikwa ofisini kwake hivi karibuni. katika mahojiano yaliyofanywa baina ya mchambuzi wa maswala ya ICT ya Shirika la Masoko ya Kariakoo (Frank Mangowi) hayupo pichani. Marsha alielezea historia fupi ya Shirika la Masoko ya Kariakoo, bofya hapa ili kupata historia ya Shirika la Masoko ya Kariakoo.




Aidha Marsha anachukua nafasi muhimu kuwakaribisha wateja kujipatia bidhaa mbalimbali zinazopatikana sokoni Kariakoo Jijini Dar es Salaam Tanzania.

Hapa ndipo Kariakoo Sokoni, picha ikionesha Soko kubwa(kushoto) na Soko dogo(kulia) la Kariakoo jijini Dar es Salaam.




No comments:

Post a Comment