Tuesday, October 15, 2013

HEKA HEKA ZA SIKU KUU YA IDD EL HAJJ

Wateja wakijipatia mahitaji yao sokoni Kariakoo kama inavyoonekana hapo juu pichani, hili ni eneo la wazi la Soko Kuu la Kariakoo Jijini Dar es Salaam.

Nyanya, vitunguu, hoho karoti zapatikana kwa wingi Sokoni Kariakoo.
Njegere
Katika harakati za siku kuu ya Id-Elhaj baadhi ya bidhaa zapanda bei, baadhi ya bidhaa hizo ni kama vile njegere.

Baadhi ya bidhaa ambazo zimeonekana kupatikana kwa wingi sokoni Kariakoo ni pamoja na nyanya, vitunguu maji & swaumu.



Pichani ni mfanya biashara wa Soko Kuu la Kariakoo eneo la Soko la wazi Merck Wandao Twanga  ambae pia ni Mwenyekiti wa wafanya biashara wa eneo la wazi sokoni Kariakoo.




Jipatie karoti, hoho, tango







No comments:

Post a Comment