Thursday, September 19, 2013

Utambulisho.

Mwakilishi wa Shirika la 2Seeds Monique Galvao (kushoto) ambae pia ni Coordinator wa Masoko Project   kwa Shirika la Masoko ya Kariakoo akizungumza na mmoja wa washindi wa shindano lliloandaliwa na Shirika hilo la 2Seeds. Galvao pamoja na Sophie Hollingsworth (huyupo pichani) ambao ni wakilishi wapya katika Shirika la Masoko la Kariakoo jijini Dar es salaamu.
Monique Galvao (kushoto) akiwa na Ekyarisinna Carolyue miongoni mwa washindi wa Masoko Challange.

No comments:

Post a Comment