Katika picha hapo juu ni Samaki wakavu ambao wanauzwa hapa katika Soko Kuu la Kariakoo. Asilimia kubwa ya samaki hawa huingizwa katika Soko Kuu hilikutoka mikoa kama Kilimanjaro,Iringa,Dodoma.Kwa bei za jumla na rejareja na samaki hawa huuzwa eneo la Shimoni katika soko la samaki.
|
No comments:
Post a Comment