Huu ni mwonekano wa duka la BCS, Unaweza kuwasiliana nao kwa mawasiliano yafuatayo
+255 (0)754 272853
+255 (0) 787272 853
+255 (0) 715572 853
|
Tuesday, January 21, 2014
BCS - WAUZAJI WA MBEGU BORA ZA KILIMO CHA KISASA, WANAPATIKANA SOKONI KARIAKOO
Monday, January 20, 2014
MATUKIO KATIKA PICHA
Pichani hapo juu ni watumishi wa Shirika la Masoko ya Kariakoo Jijini Dar es Salaam, aliyesimama ni Mkuu wa Idara ya Usafi wa Shirika (Primitiva Kamugisha) na aliyekaa kulia kwake ni Afisa biashara wa Shirika la Masoko Kariakoo (Bi. Soi) wakizungumza na mmoja wa wafanyabiashara wa sokoni Kariakoo (haonekani pichani) hivi karibuni katika ofisi ya Afisa biashara wa Shirika.
| PATA BAMIA, NYANYA CHUNGU NA HOHO HAPA KARIAKOO SOKONI. |
Friday, January 10, 2014
I.S & M (METALS) LIMITED
| BUGGATI SPRAYER ZINAUZWA SHILINGI 25,000/= |
Pichani hapo juu ni kifaa kinachotumika kunyunyizia dawa katika bustani na maeneo mengine.
I.S & M Metals Limited ni wauzaji wa pembejeo za kilimo sokoni Kariakoo Jijini Dar es Salaam-Tanzania.
Pichani hapo juu ni kifaa kinachotumika kunyunyizia dawa katika bustani na maeneo mengine.
Unaweza kuwapata I.S & M Metals Limited, Sokoni Kariakoo
Mawasilano yao ni: 0767 277473
0715 484444
Email: baly@intafrica.com
Wednesday, January 8, 2014
NAFAKA, MATUNDA NA MBOGA MBOGA ZINAZOPATIKANA SOKONI KARIAKOO
Tuesday, January 7, 2014
KMC STAFF
Pichani ni baadhi ya watumishi wa Shirika la Masoko ya Kariakoo Jijini Dar es Salaam wakiwa kwenye ofisi ya Afisa biashara mapema leo asubuhi.
SOKO LA WAZI KARIAKOO
Pichani hapo juu ni eneo la wazi la soko Kuu la Kariakoo ambalo ni maarufu kama soko la wazi, eneo hili unaweza kupata matunda na mboga mbalimbali kama vile nyanya, maembe, karoti, hoho, pilipili na mengine mengi.
Thursday, January 2, 2014
BEI YA SAMAKI YA PANDA KUTOKA SH.15,000/= HADI 16,000/= KWA KILO
Pichani hapo juu ni mteja wa samaki aliyefika katika maduka ya samaki wabichi ndani ya Soko Kuu la Kariakoo Jijini Dar es Salaam.
Samaki wanaoonekana pichani hapo juu wanauzwa Shilingi 16,000/= kwa kilo moja na shilingi 4,000/= kwa kipande.
Samaki wanaoonekana pichani hapo juu wanauzwa Shilingi 16,000/= kwa kilo moja na shilingi 4,000/= kwa kipande.
Monday, December 30, 2013
MAANDALIZI YA SIKU KUU YA MWAKA MPYA 2014
Pichani hapo juu ni baadhi ya wafanyabiashara wa soko la wazi la Kariakoo, wakiwa na wateja wao mapema leo asubuhi. Soko la wazi Kariakoo unaweza kupata mahitaji yako mbalimbali kama inavyoonekana pichani hapo juu.
| Nyanya zikiwa kwenye sado ya lita4 zikiuzwa kwa shilingi 5,000 |
| Viazi vinauzwa kwa shilingi 7,000=/ tu! |
Thursday, December 26, 2013
WATU WAFURIKA SOKONI KARIAKOO KUFUATA BIDHAA
Magari yakiwa yameegeshwa katika eneo la soko Kuu la Kariakoo Jijini Dar es Salaam.
Maegesho ya magari katika eneo la soko Kuu la Kariakoo likiwa limefurika magari ya watu mbalimbali waliokuja Kariakoo kujipatia huduma kama inavyoonekana pichani hapo juu.
Sunday, December 22, 2013
BIDHAA SAFI NA BORA ZINAPATIKANA SOKONI KARIAKOO JIJINI DAR ES SALAAM
Wafanyabiashara wa Soko la Wazi Sokoni Kariakoo, wakiwa na wateja wao mapema leo asubuhi katka soko Kuu la Kariakoo Jijini Dar es Salaam.
Katika msimu huu wa siku kuu karibuni sokoni Kariakoo wateja wetu wote ili muweze kujipatia bidhaa bora sokoni Kariakoo Jijini Dar es Salaam.
Katika msimu huu wa siku kuu karibuni sokoni Kariakoo wateja wetu wote ili muweze kujipatia bidhaa bora sokoni Kariakoo Jijini Dar es Salaam.
Subscribe to:
Posts (Atom)